Loading...

BREAKING NEWS: AJALI MBAYA KATI YA "UDA", TRENI YAUA NA KUJERUHI VIBAYA JANA USIKU KARIAKOO...INASIKITISHA SANA

Kaimu Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kipolisi wa Ilala, Ernest Matiku amesema majeruhi wamepelekwa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili kwa matibabu.


Picha na Mpigapicha wetu.
Hata hivyo, hakuweza kumtaja jina mtu huyo aliyefariki dunia.
“Ni kweli ajali imetokea kuna kifo cha mtu mmoja na watu wengi wameumia sana na hivi ninavyozungumza na wewe naelekea Muhimbili,” amesema Kaimu kamanda huyo.

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright BAKI NASI | Designed By BAKI NASI
Back To Top