Loading...

TANZANIA YETU: Maji ya Ziwa Ngozi huko Mbeya, hubadilika rangi kutokana na hali ya hewa ya siku ilivyo! Pata simulizi kuhusu ziwa hili hapa

 
Ziwa hili liko Mbeya kwenye milima ya Uporoto.

Linatajwa kuwa ni ziwa la pili kwa ukubwa katika maziwa yanayopatikana kwenye kreta Afrika.

Wenyeji wanalihusisha ziwa hili na imani za kishirikina.

Wanadai lilipigwa mawe na likahamishwa kutoka Masoko Tukuyu na kwenda kujikita Uporoto.

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright BAKI NASI | Designed By BAKI NASI
Back To Top