Loading...

BREAKING NEWS: ODM Kisii senator Obure to DEFECT to Jubilee after Today’s State House Visist

There self imposed rebel Gusii leaders led by former CIC boss Charles Nyachae and Kisii ODM Senator Chris Obure are currently at State House Meeting President Kenyatta and William Ruto.
The anti-Raila/Ongwae leaders also nicknamed Tumbocracts by the larger Gusii community due to their selfish motives, are expected to defect to formally defect from ODM and announce Jubilee as their party.
According to some State House snoop, State House they were gifted abundantly with rider that they must deliver Omogusii to Jubilee.
Our sources have however revealed the President and his Deputy berated them bitterly for failing in their previous attempts to get the Gusii community join Jubilee
Before the ‘token’ was handed to them, the President and his Deputy cautioned them that he will not tolerate any failure.
BREAKING: ODM Kisii senator Obure to DEFECT to Jubilee after Today’s State House Visist
It is believed that they Kisii ‘Tumbocrats’ were afforded the opportunity to name their price as a sign of allegiance that they will not fail.
What they failed to tell the President and his Deputy is that Kisiis have rejected the so called ‘Omogusii Unity’ and are firmly in ODM to stay.
The announcement of their defection is yet to be announced through a press conference.
The ‘Omogusii Unity’ under the mantra of “The Otamba Declaration” has been widely rejected by the Larger Gusii community including the ones at the diaspora because their’s is an unholy fellowship aimed at finishing Governor Ongwae and bring down his government.
Members of the Kisii community have questioned the timing of the so called ‘Omogusii Community’ asking why its champions did not do it long time ago because they have all along been in leadership.

BREAKING NEWS: YALIYOJILI MUDA HUU, CHADEMA KIMENUKA MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA AWANYOOSHA KWA KAULI WALIOITOA

Msajili wa Vyama vya Siasa nchini Jaji Francis Mutungi amelaani vikali  tamko la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) lililotolewa jana tarehe 27 Julai, 2016 kupitia vyombo vya habari, kuhusu hali ya demokrasia ya vyama vingi hapa nchini la kuazimia kufanya mikutano na maandamano nchi nzima akidai kuwa tamko hilo ni la kichochezi lililolenga kuleta uvunjifu wa Amani.

Kwa mujibu wa Taarifa iliyotolewa na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini cha Ofisi ya Msajili wa Vya Siasa na kusainiwa na Jaji Francis Mutungi imebainisha kuwa tamko hilo linaenda kinyume na Sheria ya Vyama vya Siasa namba 5 ya mwaka 1992 kifungu 9 (2) (c) inayokataza chama cha siasa kutumia au kuhamasisha matumizi ya nguvu au vurugu kama njia ya kufikia malengo yake ya kisiasa.

“Nimepokea kwa masikitiko tamko la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) lililotolewa jana tarehe 27 Julai, 2016 kupitia vyombo vya habari, kuhusu hali ya demokrasia ya vyama vingi hapa nchini. Tamko hilo limejaa lugha ya uchochezi, kashfa, kuudhi na lenye kuhamasisha uvunjifu wa amani. Ili kuepuka kurejea tamko lote, nimeona ni vyema nitoe mfano wa maneno yafuatayo yaliyosemwa, ambayo yanakiuka Sheria ya Vyama vya Siasa”. Ilisema taarifa hiyo.

Aidha, taarifa hiyo iliongeza kuwa kifungu cha 9(2) (f) kinakataza chama cha siasa kuruhusu viongozi au wanachama wake kutumia lugha ya matusi, kashfa na uchochezi ambayo inaweza kusababisha au ikapelekea kutokea uvunjifu wa amani. Vile vile kanuni za Maadili ya Vyama vya Siasa, Tangazo la Serikali namba 215 la mwaka 2017, zinakataza chama cha siasa kutumia lugha za matusi, kashfa, uongo na uchochezi.

Nakuongeza kuwa kanuni ya 5(1) (d) inakitaka kila chama cha siasa kutotoa maneno yoyote au maandishi ambayo ni uongo. Kuhusu mtu yoyote au chama cha siasa chochote.

Katika taarifa yake Jaji Mutungi amesema kutokana na Kanuni hizo tamko la CHADEMA ni ukiukwaji wa Sheria ya Vyama vya Siasa.

Aidha, hii siyo mara ya kwanza kwa CHADEMA kutumia lugha za namna hii za kuhamasisha uvunjifu wa amani (civil disorder).

Natumia fursa hii kukemea tamko hilo hadharani, kwa mujibu wa kanuni ya 6(2) ya Kanuni za Maadili ya Vyama vya Siasa. Pia nawaasa CHADEMA wasiendeleze tabia hii.

Jaji Mutungi ametoa rai kwa  Viongozi wa Vyama vya Siasa  waonyeshe ukomavu katika medani za Siasa badala ya kujikita katika vitendo, kauli au matamshi yenye mlengo wa kusababisha uchochezi au kufarakanisha Umma na Serikali yao.

Katika tamko lao CHADEMA wameitangaza siku ya tarehe mosi Septemba kama ni siku maalum kwao kufanya mikutano nchi nzima ikiwamo maandamano ambapo ngazi zote za chama kuanzia ngazi ya msingi hadi Taifa zitahusika.

BREAKING NEWS: IKULU Kimenuka Tena Muda si Mrefu Rais Magufuli amng’oa NGULI Dk. Wanyancha

Dk. James Wanyancha, aliyekuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Mfuko wa Barabara
UTEUZI wa Mwenyekiti wa Bodi ya Mfuko wa Barabara, Dk. James Wanyancha umetenguliwa,anaandika Pendo Omary.
Hatua hiyo imechukuliwa na Rais John Magufuli mapema hii leo huku sababu za kutenguliwa kwa uteuzi huo zikiwa hazijawekwa wazi na mamlaka ya uteuzi.
Taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi leo mjini Dodoma imesema, “kufuatia kutenguliwa kwa uteuzi huo, Rais Magufuli amemteua Joseph Odo Haule kuwa mwenyekiti mpya wa Bodi ya Mfuko wa Barabara.”
Hata hivyo wajumbe wengine wa bodi ya mfuko huo wametakiwa kuendelea na nafasi zao kama kawaida.
Kabla ya uteuzi huo, Haule alikuwa meneja wa mfuko wa barabara.

BREAKING NEWS: Mbunge Professor Jay Kiboko Aachia Nyimbo Mpya iitwayo KAZI KAZI, Ujumbe huu ni Mzito Mnoo

Ni July 27, 2016 ambapo headlines zinamilikiwa na Mbunge wa jimbo la Mikumi, Joseph Haule aka Professor Jay kwa kuachia single yake mpya iitwayo Kazi Kazi aliyomshirikisha Sholo Mwamba.

Unaweza ukabonyeza HAPA Kuudownload kisha sio mbaya ukituachia na comment yako wakali hawa watapita hapa kujua Watanzania wameipokeaje.

BREAKING NEWS : UHURU summons the Kisii OTAMBA ‘TUMBOCRATS’ to State House for Eating and failing to sell Jubilee in Gusiiland

News Just in has it that the Nyachae-Obure led OTAMBA declaration crew have been summoned to State House later today for failing to hoodwing the Kisii people and convince them to join Jubilee.
The Kisii merchants have been summoned to appear before Uhuru and Ruto Thursday 28th July 2017 to explain the poor performance.
 BREAKING : UHURU summons the Kisii OTAMBA ‘TUMBOCRATS’ to State House for Eating and failing to sell Jubilee in Gusiiland
Among the agenda for discussion includes defections and the dissolving of small parties to form jubilee party. They rebel leaders are also expected to present their 2017 probable line up and convince Uhuruto how they are planning to vanquish Governor Ongwae and ODM in general.
The line up drawn by the group is as follows:
Chris Obure Chairman Jubilee and Governor aspirant Charles Nyachae Secretary General and Senator aspirant Joel Onyancha, Deputy Governor Jimmy Angwenyi, Vice Chair Essy Okenyuri women representative, Duke Mainga youth leader Among those to attend are all jubilee kisii MPs Uhuru kenyatta is bitter that the money he gave has not been used well.
Kisii youth have revolted because the MPs pocketed money meant for youth. Sources from Statehouse indicate that Uhuruto are unhappy with some MPs and they have a parallel team to replace them.
According to The Star, the President and his Deputy have been cautioned that the current lot of Kisii leaders are obsolete and cannot perform. Uhuruto are thinking of replacing the MPs with the youthful and energetic leaders so as to get close to the youth voters.
It is believed that among those scared they won’t get a Jubilee ticket include hon Opore of Bonchari who has been marked by Uhuru confidant engineer Oimeke. As a result, Opore is believed to organize goons who beat his opponents.
Others set to fall are Jimmy Angwenyi to be replaced by jubilee strategist Bernard Nyamwaro. In Kitutu Chache South, Uhuru is okay with Richard Onyonka. In Nyaribari Chache tongi is a man under siege as Rachel Otundo a renowned surveyor angles to Remove him. In Bomachoge Chache Amos Nyamoko Andama who was second in 2013 is set to challenge Eng. Ogari.
On Friday last week a Charles Nyachae believed to be drunk by the time, was booed and chased from a burial in masimba Nyaribari Masaba where he went to spread the Otamba declaration gospel.
Some kisii MPs like Jimmy Angwenyi and Richard Onyonka who have been playing with Uhuruto cash are scared. Jimmy Angwenyi was chased from Nyankanda village for cheating wananchi. He has since stopped visiting the villagers after exposing himself to public ridicule.

ODM Senator Hon Chris Obure in TROUBLE, ROASTED by Kisii ELDERS over Links to Jubilee

At Sameta Lodge.
Members of the 4th estate ladies and gentlemen, we have gathered here as proud sons and daughters of Omobasi, to clear the air over the ongoing heated political temperatures led by Sen Chris Obure.
ODM Senator Hon Chris Obure in TROUBLE, ROASTED by Kisii ELDERS over Links to Jubilee
In 2013, leaders from the 6 Kisii clans signed an MoU which formed the County Government. The MoU saw Ongwae and Obure lead the County Government’s top most leadership. They were accorded the rare opportunity of leading our people to prosperity.
We consciously penned down our signatures to the MoU, that was to last for 10 years. Obure was to represent Ababasi and chair the team not himself as Christopher Obure. Immediately after he was sworn in as Senator he steadily and slowly walked away , we mercilessly watched him from a distance as he relocated his relatives and friends from Nairobi to give them County Jobs.
He deserted us after handing him the golden shield. We had sons and daughters who were qualified to work in the County. Poor orphans were in the list. Obure was by and large unreachable. Bobasi was grossly disadvantaged because our people never got their rightful share, because everything that was essentially meant for Omobasi was diverted to Obure’s relatives and friends.
It’s even horrific that he has gone ahead formed another merry-go-round by the name ”Obomo Bw’Omogusii” after secretly divorcing our amorphous group formed consultative across the 6 clans, founded on the pillars of unity and development to a selfish outfit with a selfish agenda and ego driven greedy families without engaging any key stakeholder, In the name of ”Omogusii Unity”.
Before Obure takes Omogusii to his merry-go-round groupings he must clear the air on the following:
1) Did Nyamira cease to be part of Gusii after devolution
2) What happened with his line-up with Ongwae
3) Stakeholders consulted before putting up the new team
4) Sponsors
5) The exact intentions of the groupings.
6) Fred Matiangi’s role in the group.
7) His deliverables as an Elected Senator.
We conclude our remarks as follows:
As Ababasi we neither subscribe to the so called ”Obomo Bw’Omogusii group led by chris Obure nor do we understand it’s agenda.
The post of Senator was preserved for Ababasi and not Chris Obure when time comes we shall unveil our own candidate to take over from Obure to complete the remaining 5 years to make it 10.
Obure is championing a selfish agenda and that he doesn’t represent our agenda.
We finally wish Obure well in his endeavours and that we’re confined in the 2013 agreement which expires in 2022.
Thank you.

Chadema kutoa tamko zito Leo Ambalo Litarushwa na Vituo Vitatu vya TV

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), leo kinatarajia kulihutubia taifa kupitia vyombo vya habari vya ndani na nje kuhusu maazimio ya Kamati Kuu iliyoketi kwa siku nne mfululizo.

Maazimio hayo ambayo yanaitwa ‘mazito na makubwa’ kuwahi kutolewa na chama hicho katika siku za hivi karibuni, yanatarajiwa kuonyeshwa moja kwa moja na vituo vitatu vya runinga   nchini.

Chanzo cha kuaminika kutoka ndani ya chama hicho kimeeleza kuwa maazimio hayo ya Kamati Kuu yatatangazwa moja kwa moja kupitia baadhi ya vituo vya runinga  kutoa fursa kwa Watanzania kusikiliza maazimio hayo.

Kamati kuu ya Chadema imefanya kikao chake kwa siku nne mfululizo kikiwa kimeghubikwa na usiri mkubwa.

Taarifa ya chama hicho kwa vyombo vya habari jana, ilisema Kamati Kuu ilimaliza kikao chake cha siku nne jana na leo maazimio yake yatawekwa wazi kwa wananchi kupitia vyombo vya habari.

Taarifa hiyo iliyotolewa na Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa Chadema, Tumaini Makene, ilisema kupitia mkutano huo yatatangazwa maazimio ya kikao hicho kilichohitimishwa    Dar es Salaam jana.

Taarifa hiyo ilisema Chadema kitatoa tamko zito la ukubwa wa aina yake.

“Licha ya mambo hayo chama kitatoa matamko mazito na makubwa ya aina yake ambayo hayajawahi kutolewa na chama chetu katika siku za karibuni."

Taarifa hiyo ilisema Kamati Kuu ilipokea taarifa ya kina juu ya masuala mbalimbali ikiwa ni pamoja na hali ya siasa nchini kwa sasa ambayo inatishia hali ya uchumi na ustawi wa jamii nzima kwa ujumla, hivyo taifa zima kuwa katika majaribu makubwa ya kukosa mwelekeo wa  uongozi.

“Kupitia mkutano huo, Chadema kitatoa mwelekeo wa hali ya nchi hasa wakati huu ambao taifa linaonekana kukosa dira ya uongozi kwa ajili ya ustawi wa Watanzania wote kwa ujumla” kilisema chanzo hicho ambacho hakikutaka kuwekwa wazi jina lake.

“Kupitia mkutano huo, chama kitazungumzia mipango ya kujiimarisha kuendelea kuwatumikia wananchi na kusimamia dira ya mabadiliko na uhuru wa kweli nchini,”alisema Makene.

Alipoulizwa kuhusu taarifa hizo, Makene alisema suala hilo halijathibitishwa rasmi kama mkutano huo   utaonyeshwa moja kwa moja katika runinga.

“Hata mahali utakapofanyika mkutano huo bado hapajajulikana, nitakupigia simu kesho asubuhi (leo) kukujulisha wapi tamko hilo litatolewa."  Alisema

MAKONDA KIBOKO AIBUA SAKATA LINGINE ZITO NDANI YA JIJI LA DAR ES SALAAM, WAANDISHI WA BAHARI WAJAZANA KUPATA UHONDO HUU


TAARIFA YA MRADI WA MACHINGA COMPLEX

1.0 Utangulizi

Mnamo tarehe 19 Aprili, 2016 ofisi yangu ya mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam ilipokea barua ya agizo la waziri wa nchi TAMISEMI juu ya kusimamia uendeshaji wa mradi wa Machinga Complex. Ambapo katika kutekeleza agizo hilo nilichukua hatua ya kwanza na ya muhimu ya kuupitia mkataba wote wa mradi huu ikiwa ni pamoja na kufanya tathmini ya haki na wajibu wa pande mbili zilizohusika kwa maana ya Halmashauri ya Jiji na Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF).

Kimsingi, tathmini yangu ya mkataba ililenga kubainisha na kujiridhisha juu ya mambo sita yafuatayo; aina ya jengo lililotarajiwa kujengwa, usimamizi wa fedha za mkopo, usimamizi wa ujenzi wa mradi, gharama za mradi, utaratibu wa urejeshaji wa deni na kiwango cha riba kilichoainishwa. Ikukumbukwe tu kwamba, wakati halmashauri ya jiji ikikabidhiwa mradi siku ya kwanza ilikuwa tayari inadaiwa kiasi cha bilioni 19.7 huku mpaka Machi mwaka huu deni lilishafikia kiasi cha bilioni 38 za kitanzania, kutokea kwenye mkopo wa bilioni 12.7

2.0 Uchunguzi

Baada ya kupitia kwa umakini mkataba mzima na kukagua mradi wenyewe, zoezi ambalo lilihusisha kulinganisha kati ya kilichofanyika baada ya mradi kukamilika na taarifa ya upembuzi yakinifu (feasibility study) uliofanyika kabla ya kuanza utekelezaji wa mradi nimebaini yafuatayo;-

2.1 Ukubwa halisi wa jengo

Nimebaini kwamba majengo ya sasa ya machinga complex hayakujengwa kwa ukubwa sawa na ule ambao Halmashauri ya Jiji na Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) walikubaliana kwenye mkataba na kupitia kifungu cha 1.1 cha barua ya makabidhiano kinachoeleza kwamba jengo lililokabidhiwa lina sehemu yenye ghorofa 5 na ghorofa 6 ili liweze kumudu idadi ya machinga wasiopungua 10,000 wakati hali halisi baada ya kutembelea jengo hilo ni kwamba jengo lina ghorofa 4 zinazobeba machinga 4,000 tu. Kwahiyo, pamoja na kwamba barua ya makabidhiano ilisainiwa na pande zote mbili licha ya ukweli kuwa maelezo ya jengo yalikuwa tofauti na jengo lenyewe.

2.2 Usimamizi wa fedha za Mkopo

Kwenye usimamizi wa fedha za Mkopo, Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam ambaye ni mkopaji hakuhusika na usimamizi wa fedha za mkopo, hivyo mkopeshaji hakuwa na udhibitisho wa gharama halisi, jambo ambalo si tu limefanya mkopaji kutojua gharama halisi za jengo bali pia kulipokea likiwa limechelewa na likiwa halina ukubwa ulioelezwa kwenye mkataba. Kimsingi, haya yote yanazaliwa na maelekezo ya kifungu namba 4.1 kinachoeleza kwamba, mkopeshaji kusimamia mradi kuanzia hatua ya usanifu hadi kukamilika kwake ikiwa ni pamoja na kufanya malipo moja kwa moja kwa mkandarasi na mshauri wa mradi, kwa maneno mengine pia ni kwamba kifungu hiki kinakinzana na vifungu namba 2.1, 2.2, 10.1 na 11.1 vya mkataba huohuo ambavyo vinaelekeza kwamba mkopeshaji (NSSF) atatakiwa kutoa fedha kwa mkopaji (Halmashauri ya Jiji) kwa ajili ya kugharamia mradi pekee na kuusimamia kama ulivyokubalika kwenye mkataba.

2.3 Kuhusu gharama za mradi

Nimebaini kuwa fedha za mkopo ziliongezeka toka shilingi bilioni 12.14 za kwenye mkataba na kufikia bilioni 12.7 ikiwa ni nyongeza ya shilingi milioni 560, nyongeza ambayo ilifanyika bila makubaliano yoyote kati ya mkopeshaji na mkopaji, hali ambayo haimtendei haki mkopaji. Kwa faida tu ya wanadar es salaam na watanzania wenzangu ni kwamba, halmashauri ya jiji ilitiliana saini ya makubaliano na shirika la hifadhi ya jamii (NSSF) ya mkataba ambao unalenga kuipatia halmashauri ya jiji mkopo wa bilioni 10 kwa ajili ya kutekeleza mradi huu ingawa baada ya muda kidogo mkopeshaji (NSSF) alisema kuwa bilioni 10 na hivyo kufanya marekebisho ya mkataba na kuongeza mkopo wa bilioni 2.14

2.4 Urejeshaji wa deni

Suala la urejeshaji wa mkopo unazua utata pale mkataba unapoainisha kuwa, mkopaji ataanza kulipa marejesho ya deni kuanzia tarehe 31 Desemba, 2008 tarehe ambayo mradi ulikuwa unatarajiwa kuwa tayari umeanza lakini mkopeshaji (NSSF) alikuwa hajamaliza ujenzi, na cha ajabu mkopaji (Halmashauri ya Jiji) alitakiwa kuanza kulipa deni hata kabla ya muda wa grace period kuisha wakati jengo likiwa bado lipo mikononi mwa mkopeshaji ambaye alijitwisha jukumu la ujenzi huku akiwa bado akang’ang’ania kulipwa riba.

mara tu tarehe hiyo ilipofika hata kama mpokeshaji mwenyewe alikuwa bado hajakamilisha ujenzi huku akidai pesa ya riba.

Uwezo wa Mradi

Uwezo wa jengo hilo lililopo hata kama litafanya kazi kwa uwezo wake wote kwa maana ya kujaza nafasi zote zilizopo ni kasi cha sh124,796,666.666 kwa mwezi ambazo ni sawa na kiasi cha sh1,497,560,000 kwa mwaka. Pungufu ya 60% ya lengo la Mradi kama ilivyokuwa kwenye upembuzi yakinifu

3.0 Mapendekezo

3.1 Baada ya uchunguzi huu ulionifanya kuamini mambo makubwa matano niliyoyaainisha hapo chini na ambayo yameniongoza kutoa mapendekezo ya hatua za kuchukua;-
  • Deni halilipiki – ukweli ni kwamba, ukizingatia kiasi cha pesa kinachodaiwa kutoka kwa halmashauri ya Jiji ambacho mpaka sasa ni zaidi ya bilioni 38 utagundua kuwa, halmashauri haiwezi kulipa deni hilo. Ikilinganishwa na uwezo wa jengo hilo deni hili litalipwa baada ya miaka isiyopungua 24 
  • Mkataba wote huu ni wa hovyo na haukupaswa kusainiwa hata kidogo.
  • Kitendo cha kusaini mkataba huu ni hakika na bayana kuwa rushwa ilitumika pande zote mbili, kwa maana haiwezekani ukaacha taaluma yako kwa kiwango hicho cha kutoona udhaifu huu wa wazi wa mkataba huu kama hujapofushwa macho na rushwa.
  • Mkataba huu hauna tija kwa upande wowote ule: sio NSSF kwasababu halmashauri ya Jiji hawana uwezo wa kulipa deni, wala sio kwa Jiji lenyewe kwani halina uwezo wa kutekeleza mkataba kwa kufanya malipo yanayotakiwa na hauna faida vilevile kwa machinga kwa sababu gharama ya kupanga ni kubwa. 
3.2 Mapendekezo
  1. Kuvunjwa kwa mkataba na NSSF kuchukua eneo lao, kwa makubalino ya kwamba, Halmashauri ya Jiji walipwe kodi ya ardhi jambo ambalo linaweza kufanyika kwa urahisi kupitia NSSF na halmashauri ya Jiji kumiliki hisa kwa pamoja. 

  2. Au NSSF wakabidhi jengo kwa halmashauri ya Jiji, lakini wakae na kukubaliana upya na hivyo kuandika mkataba tofauti na ule wa mwanzo. 

  3. Mwisho, wahusika wote wa pande zote mbili wachukuliwe hatua kwani hatuwezi kutumia fedha za mifuko za hifadhi ya jamii ambazo ni fedha za wanyonge wa taifa hili kwa faida ya wachache waliotanguliza ubinafsi,. 
Imetolewa na:

Paul Makonda
Mkuu wa Mkoa – Dar es Salaam.

Breaking News: Aliyekuwa Mgombea Ubunge Jimbo la Kahama Mjini "LEMBELI" Afunguka Mazito tena Kuhusu Kurudi CCM, kweli Lembeli Jembe

Aliyekuwa mgombea ubunge Jimbo la Kahama Mjini katika Uchaguzi Mkuu mwaka jana kwa tiketi ya Chadema, James Lembeli amesema hana mpango wa kurudi CCM.
Lembeli alisema licha ya chama hicho kupata Mwenyekiti mpya kimejaa wanafiki, hivyo siyo kazi rahisi kurejea katika chama chake cha zamani.
Aliyekuwa mgombea ubunge Jimbo la Kahama Mjini
Akizungumza kwa simu kutoka kijijini kwake, Bulungwa katika Halmashauri ya Ushetu wilayani Kahama jana, Lembeli alisema anashangazwa na kitendo cha makada wa CCM kumpigia simu wakiwa Dodoma wakidai mbona hakurejea ndani ya chama hicho.
Older Posts
© Copyright BAKI NASI | Designed By BAKI NASI
Back To Top