Loading...

BREAKING NEWS: KIMENUKA BODI YA MIKOPO MUDA HUU YATANGAZA MAJINA HADHARANI YA WADAIWA. TAZAMA ORODHA YA MAJINA YOTE

Bodi ya Mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu (HESLB), inawaarifu wadaiwa wote ambao mpaka hivi sasa hawajaanza kulipa mikopo waliochukua kipindi wanasoma, na wenye majina yao kwenye orodha hii kwamba wamevunja mkataba kutokana na sheria ya bodi hiyo No. 9 ya 2004 (kama ilivyorekebishwa) sehemu ya 19 (1).

Na wanataarifiwa kwamba, kulingana na sheria hiyo ya bodi (HESLB)  No. 9 ya 2004, Bodi imedhamiria kutenda yafuatayo:-

(i) Bodi itachukua hatua za kisheria kulingana na kipengele cha 19 (a) (1) cha sheria ya bodi.

(ii) Mdaiwa atapewa penati ya 5%  juu ya ile 5% iliyokua ikitozwa kabla kwa kila mwezi kwenye deni lililobakia au alilonalo.

(iii) Mdaiwa ataongezewa gharama za kumtafuta alipo ili alipe deni zilizoingiwa na bodi.

(iv) Mdaiwa atawekwa kwenye ‘blacklist’ na maelezo yake yatapelekwa  kitengo cha kumbukumbu ya wakopaji na hivyo kushindwa kukopa sehemu nyingine yoyote.

(v) Mdaiwa atazuiliwa kupata udhamini wa Serikali au udahili wa masomo ya juu kwenye vyuo vyovyote ndani na nje ya nchi.

(vi) Maelezo yao yatapelekwa kwenye Wizara ya mambo ya ndani, kitengo cha Uhamiaji na balozi zote ambako watakataliwa safari zozote za kwenda nje ya nchi.

Wadaiwa wote ambao majina yamechapishwa kwenye magazeti na kwenye tovuti ya bodi ya mikopo (Bonyeza hapa kuyasoma majina hayo) wanatakiwa kulipa madeni yao mapema iwezekanavyo kuzuia wao kupata adhabu hizo zilizotajwa hapo juu.

==>Bonyeza Hapa Kuyasoma Majina Hayo

TCU: Denouncement of the fabricated rumours on the suspension of Admission into some University Institutions

Tanzania Commission for Universities
PUBLIC NOTICE
DENOUNCEMENT OF THE RUMOURS FABRICATED IN THE SOCIAL
MEDIA ON THE SUSPENSION OF ADMISSION INTO SOME UNIVERSITY
INSTITUTIONS FOR THE 2016/17 ACADEMIC YEAR

This is to inform the general public that, it has come to the attention of the Tanzania Commission for Universities (TCU) that some unscrupulous persons through social media, have maliciously fabricated incorrect and unfounded information to the public that, in addition to the list provided in the Undergraduate Admission Guidebook, TCU has extended suspension of admission to other twenty two (22) university institutions.

TCU hereby denounces that this information is incorrect and unfounded. Therefore it should be ignored. The general public, university institutions and all stakeholders are reminded that all official communications and announcement by TCU are done through either written notices issued by the Executive Secretary or the Chairman as the case may be, or posted on TCU website www.tcu.go.tz. Accordingly, the public notices can be issued by TCU in the print media wherever and whenever necessary.

TCU condemns person(s) responsible for this unlawful act of publishing and disseminating wrong and false message that has created confusion to the public. This act cannot be condoned for whatever reasons, and in this case, TCU will take appropriate legal action for whoever is responsible for this fabrication of information.
The public is also notified that the TCU Executive Secretary is the only spokes person of the Commission. Thus any communication that does not come from the Executive Secretary or an authorized person on behalf of the Executive Secretary is deemed null and void.

Issued by
The Executive Secretary
Tanzania Commission for Universities
25th July, 2016
Source: TCU Official Website
Older Posts
© Copyright BAKI NASI | Designed By BAKI NASI
Back To Top